simbadeo2000

WAZA MPAKA BASI (THINK TO NO END).com weblog NOTE: Views or opinions expressed in this blog do NOT in any way represent those of any organisation, community, association, company, circle of friends, religious or ethnic group to which I am associated with.

Sarafu Zetu … Shilingi Mia na Shilingi 10 za Noti …

leave a comment »


 

Wahenga tuna kumbukumbu nzuri na noti hizi. Kwa hakika … shilingi yetu iling’ara … mvuto na thamani vilikuwa juu. Well. Tuendelee kuchapa kazi. Huenda thamani hiyo tutairejesha, some day! Pamoja sana.

Written by simbadeo

August 30, 2018 at 1:34 pm

Posted in Siasa na jamii

Foleni … Kuisha Soon?

leave a comment »


Karakana, Vingunguti Dar es Salaam. Alhamis, 30 Agosti, 2018. Huenda foleni hizi zitapungua hivi karibu daraja la Tazala litakapofunguliwa mnamo mwezi Oktoba, mwaka huu. Inshaallah!

Written by simbadeo

August 30, 2018 at 1:30 pm

Posted in Siasa na jamii

Book: Economic Integration in Africa

leave a comment »


 

Economic Integration in Africa
The East African Community in Comparative Perspective

 

Overview

In this work, Richard E. Mshomba offers an in-depth analysis of economic integration in Africa with a focus on the East African Community (EAC), arguably the most ambitious of all the regional economic blocs currently in existence in Africa. Economic Integration in Africa provides more than just an overview of regional economic blocs in Africa; it also offers a rich historical discussion on the birth and death of the first EAC starting with the onset of colonialism in the 1890s, and a systematic analysis of the birth, growth, and aspirations of the current EAC. Those objectives include forming a monetary union and eventually an East African political federation. This book also examines the African Union’s aspirations for continent-wide integration as envisioned by the Abuja Treaty. Mshomba carefully argues that maturity of democracy and good governance in each country are prerequisites for the formation of a viable and sustainable East African federation and genuine continent-wide integration.

  • Examines economic integration in Africa from a historical, economic, and political perspective, showing the confluence of history, economics, and politics in shaping the pace of economic integration
  • Focuses on one regional economic bloc (the East African Community) while at the same time maintaining a broader perspective by considering continent-wide integration efforts
  • Presented in chronological order, making historical developments easy to follow

 

Reviews & endorsements

Advance praise: ‘To date, we have lacked authoritative studies of some of Africa’s most important regional organizations, which has undermined our understanding of how African states engage with one another. Richard E. Mshomba has filled this gap for the East African Community, providing a thorough, clearly written and persuasive account of its strengths and weaknesses. This volume represents a significant contribution to the debate, and will be an important touchstone for academics, policy makers and practitioners alike.’ Nic Cheeseman, University of Birmingham

Advance praise: ‘Professor Richard E. Mshomba has produced an outstanding study that should be of utmost value to a wide variety of scholars, students, and policy practitioners. In cogent and compelling language, he has clarified the economic challenges and opportunities of regional economic federations; he has brought us a compelling history of the efforts to achieve regional economic integration in Eastern Africa. His analysis and conclusions will be of interest to scholars of economic integration throughout the developing world.’ Michael F. Lofchie, University of California, Lost Angeles.

 

Read more at http://www.cambridge.org/us/academic/subjects/economics/economic-development-and-growth/economic-integration-africa-east-african-community-comparative-perspective#WKeKLgeys6DpwZ4F.99

Written by simbadeo

October 17, 2017 at 6:50 pm

Appreciation of a beautiful life … Bibiana (Mwanaidi)

leave a comment »


Welcoming

Sharing quality time

Religious

Caring for family

Teaching the young ones the virtue of work

Present in key moments of life of the young ones

Guiding

A wonderful companion

02.12.1973-04.07.2016. Our love for you will never end. Keep praying for us from heaven.

Written by simbadeo

July 6, 2017 at 7:38 pm

Posted in Siasa na jamii

Dar Streets Series: BRT on the Scene

leave a comment »


BRT Dar 2

And another

BRT Dar 1

The rapid bus service is a new addition to the city. Commuters using the services cut the time they spend on the road by about 70 per cent. What an improvement! Imagine, spending only half an hour from the Kimara suburb to the Central Business District. Using ordinary commuter buses would normally take not less than an hour and a half!

Dar Street Series: Jet point along Nyerere; Kipawa Fish Market

leave a comment »


 

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Jet area along Julius Nyerere Road in Dar es Salaam.

 

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Customers at the Kipawa Fish Market along Nyerere Road, Dar es Salaam. Life goes on.

Tazara: Treni Daladala

leave a comment »


Tazara Daladala peak hour 1

Watu wakiwa katika Kituo Kikuu cha Garimoshi cha Tazara. Hawa wanasubiri kuruhusiwa kuingia katika garimoshi linalofanya safari kati ya Stesheni hiyo na viunga mbalimbali vya jiji la Dar es Salaam.

Tazara Daladala peak hour

Abiria baada ya kuruhusiwa kuingia katika mabehewa. Garimoshi moja katika safari hizi huwa na mabehewa yasiyopungua tisa (9). Katika nyakati ambako kuna abiria wengi, yaani asubuhi (kuelekea mjini) na jioni (kuelekea Mwakanga na vituo vya mbele). Nilichokiona katika safari niliyofanya ni udhaifu wa udhibiti wa mapato. Ukusanyaji nauli unafanyika kiholela. Ni rahisi mtu kulipa kiwango tofauti na kilichopangwa ili mradi hapewi risiti. Hii ina maana kuwa fedha hiyo itaingia kwenye mfuko wa aliyepewa dhamana ya kukusanya nauli. Kwa maana hiyo, shirika lisitegemee kuona mwujiza katika mapato yake katika kutoa huduma hii.

Nasi Watanzania tubadilike. Ili huduma kama hii udumu ni muhimu tutimize wajibu wetu. Mosi, tulipe nauli sahihi. Pili, tudai risiti halali katika kutumia huduma hiyo. Vinginevyo, huduma itakuwa mzigo kwa mamlaka na hatimaye kusitishwa. Jambo hilo likitokea, watakaoumia ni sisi.

Pamoja sana.

Ajira: Wanawake na Maendeleo

leave a comment »


Wanawake na Maendeleo

Ajira rasmi bado ni changamoto kubwa kwa nchi yetu. Kwa mujibu wa matokeo ya ‘Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi wa Mwaka 2014’ wa National Bureau of Statistics, kuna jumla ya watu 25,750,116 wenye uwezo wa kufanya kazi nchini. Miongoni mwao, Nguvu Kazi ya Taifa ni 22,321,924. Na kati ya hao kwenye kundi hilo la pili, walio kwenye ajira ni 20,030,139. Idadi hiyo ni jumla ya walio kwenye ajira rasmi na isiyo rasmi.

Kwa mujibu wa utafiti huo, sekta isiyo rasmi haijumuishi shughuli za kilimo. NBS inafafanua kuwa ni zile shughuli za kiuchumi zinazofanywa na mtu mmoja mmoja au na kaya lakini ambazo ni vigumu kisheria kuzitofautisha na wamiliki wake, kwani mara nyingi hazina akaunti zake zenyewe za benki, baadhi ya bidhaa wanazozalisha ni kwa ajili ya kuuza huku zikiajiri chini ya wafanyakazi watano.

Utafiti huo unaonyesha kuwa kuna kaya 4,338,070 zenye shughuli za kiuchumi zilizo katika sekta isiyo rasmi. Lakini utafiti unaonyesha kuwa wanaofanya kazi mmojammoja katika sekta isiyo rasmi ni watu 6,257,124.

Kwa hiyo, nchi yetu ina changamoto kubwa ya kuwaingiza hawa katika sekta rasmi. Ni kwa sababu ya ukosefu wa ajira rasmi siku hizi tunaanza kuona akina mama wakifanya shughuli za uchuuzi mijini. Shughuli hizi zilikuwa zikifanywa zaidi na akina baba. Hii ni kwa maana ya kubeba bidhaa na kuzitembeza kutafuta wateja.

Tulipe kodi ili kwa pamoja tulete mabadiliko katika uchumi wa nchi yetu.

Pamoja sana.

Lushoto: Beautiful Weather…

leave a comment »


SAM_1506

Section of Lushoto town. PHOTO | TINA SIMBA (8yrs old)

Written by simbadeo

April 22, 2016 at 12:16 pm

Mathias Isuja: End of an Era

with one comment


Bishop Mathias Isuja and Deo Simba

Baba Bishop Mathias Isuja. Thank you for your life. Thank you for your leadership. You’ll be missed, it’s human. But, the good seeds you planted all over Dodoma and central parts of the country will bear witness of what a great mind you’ve always been.

You weren’t feeling well, but you were ready to receive my colleague (Salim Shao) and me and spend over an hour talking about a myriad of things, particularly, about Padre Egidi (RIP).

So, go Baba, go. Rest in Peace.

Photo by Salim Shao. April 2014.

Written by simbadeo

April 19, 2016 at 10:56 pm