simbadeo2000

WAZA MPAKA BASI (THINK TO NO END).com weblog NOTE: Views or opinions expressed in this blog do NOT in any way represent those of any organisation, community, association, company, circle of friends, religious or ethnic group to which I am associated with.

Archive for the ‘Entertainment’ Category

Dar Streets Series: BRT on the Scene

leave a comment »


BRT Dar 2

And another

BRT Dar 1

The rapid bus service is a new addition to the city. Commuters using the services cut the time they spend on the road by about 70 per cent. What an improvement! Imagine, spending only half an hour from the Kimara suburb to the Central Business District. Using ordinary commuter buses would normally take not less than an hour and a half!

Tazara: Treni Daladala

leave a comment »


Tazara Daladala peak hour 1

Watu wakiwa katika Kituo Kikuu cha Garimoshi cha Tazara. Hawa wanasubiri kuruhusiwa kuingia katika garimoshi linalofanya safari kati ya Stesheni hiyo na viunga mbalimbali vya jiji la Dar es Salaam.

Tazara Daladala peak hour

Abiria baada ya kuruhusiwa kuingia katika mabehewa. Garimoshi moja katika safari hizi huwa na mabehewa yasiyopungua tisa (9). Katika nyakati ambako kuna abiria wengi, yaani asubuhi (kuelekea mjini) na jioni (kuelekea Mwakanga na vituo vya mbele). Nilichokiona katika safari niliyofanya ni udhaifu wa udhibiti wa mapato. Ukusanyaji nauli unafanyika kiholela. Ni rahisi mtu kulipa kiwango tofauti na kilichopangwa ili mradi hapewi risiti. Hii ina maana kuwa fedha hiyo itaingia kwenye mfuko wa aliyepewa dhamana ya kukusanya nauli. Kwa maana hiyo, shirika lisitegemee kuona mwujiza katika mapato yake katika kutoa huduma hii.

Nasi Watanzania tubadilike. Ili huduma kama hii udumu ni muhimu tutimize wajibu wetu. Mosi, tulipe nauli sahihi. Pili, tudai risiti halali katika kutumia huduma hiyo. Vinginevyo, huduma itakuwa mzigo kwa mamlaka na hatimaye kusitishwa. Jambo hilo likitokea, watakaoumia ni sisi.

Pamoja sana.

Lushoto: Beautiful Weather…

leave a comment »


SAM_1506

Section of Lushoto town. PHOTO | TINA SIMBA (8yrs old)

Written by simbadeo

April 22, 2016 at 12:16 pm

Room To Read … Writers’ Workshop

with 2 comments


20160211_150316

Deo Simba, Herieth Emmanuel, Upendo Naftari, Phabian Isaya, Elizabeth Shusha, Prisca Mdee (Trainer), Alison Ziki (Trainer), Mama Rehema Egbert, Mama Justa Mlyauki and Richard Mabala. Dar es Salaam. Tanzania. Feb 8 to 11, 2016. A great moment.

MV Logos Hope … Book Fair in Dar 2016

with one comment


20160213_133950

When it comes to books … children are highly interested. We are the mean ones for not spending as much as we should on books for children and for adults.

20160213_134527

And … Desmond Tutu … The Authorised Portrait …

20160213_133834

And … The Crowd … searching and searching …

Unatafuta Ajira? Tangazo hili linakuhusu …

leave a comment »


wanaotafuta ajira

Pengine ni namna nzuri ya kuuanza Mwaka Mpya 2016. Jifunze kitu kipya. Shiriki ili kuona fursa mpya. Jipatie maarifa. Jiongezee ujuzi. Ongeza idadi ya marafiki unaofahamiana nao (networking). Kwa hakika ni fursa ya pekee.

Family Time: Happy birthday Tina Bahati Deo Simba

with 4 comments


20151228_133859

Tina Bahati Simba as she clocks 8 years. Congrats to you. May you be blessed abundantly.

20151228_135650

With big brother Martin Jubilee Deo Simba. Life is all about accompaniment.

20151225_224803

With big sister Cecilia Deo Simba. Big time. Guidance. Inspiration. Trust. Confidence. Being together.

Merry Christmas. Noeli Njema. 2015

with 7 comments


20151225_094711

This is to wish a Merry Christmas to all fans and readers of this blog and other social networks associated with it. May the day bring joy and plant the seeds of peace in our societies. Let there be peace always and the rest will follow.

Stay blessed.

Hii ni maalumu kuwatakia Furaha ya Noeli kwa wapenzi na wasomaji wote wa blogu hii pamoja na mitandao mingine ya kijamii inayohusiana nayo. Siku hii ilete furaha na kupanda mbegu za amani katika jamii zetu. Sote tujibidishe kuleta amani na mengine yote yatafuatia.

Ubarikiwe sana.

The art of balancing: Exactly what we need in our daily intermingling

with one comment


Art of Balancing

Balancing life with a smile. What other way of enjoying life is there? In our lives, we need a lot of balancing. I guess this is what Mr Pierre Nkurunziza of Burundi needs to do right now for his people. He must bring a smile to the faces of millions of Burundians who are currently living in a state of terror. Things must change. Mr Nkurunziza must make tough choices — one is to quit from office and so stop whatever is happening right outside the gates of his mansion.

Lushoto people have a lot to teach us. Let’s keep discovering.

Lushoto: On open market day

leave a comment »


Lushoto on open market day 2

Lushoto on open market day

It’s a beautiful day, beautiful people, beautiful weather. Open markets are always very interesting places to visit. They are full of life as money exchanges hands supported with a smile. Well, frowns are also there, especially when the day wears off and the sun leans to the west and one had not sold all that he or she had planned to sell. But, life must go on. Enjoy every moment as it comes. Cheers!