simbadeo2000

WAZA MPAKA BASI (THINK TO NO END).com weblog NOTE: Views or opinions expressed in this blog do NOT in any way represent those of any organisation, community, association, company, circle of friends, religious or ethnic group to which I am associated with.

Archive for September 26th, 2012

Msongamano wa Magari … Taffic Jams

leave a comment »


Mahali pa njia tatu … zimeibuka njia tano au sijui sita … duh! Hii ni changamoto kubwa kwa maendeleo. Kwa mtindo huu watu wataendelea kuweka maisha yao rehani kwa kutumia pikipiki ili wasishikwe na foleni. Miundombinu inapaswa kushughulikiwa kwa namna ya pekee kabisa na kwa kutazama miaka 40 hadi 50 ijayo.

Naamini kama tutaweka kiwango cha ‘kufurahi’, basi ‘furaha’ ya wakazi wengi hunyong’onyezwa na mgogoro huu wa msongamano wa magari. Stress hapa lazima ziwe nyingi maana kila mmoja ana haraka zake, lakini anakwazwa na hali kama hii. Ili kuwapa watu furaha na amani kwenye nafsi yao … miundombinu nayo ina nafasi yake. Pamoja sana!

Written by simbadeo

September 26, 2012 at 9:46 am