simbadeo2000

WAZA MPAKA BASI (THINK TO NO END).com weblog NOTE: Views or opinions expressed in this blog do NOT in any way represent those of any organisation, community, association, company, circle of friends, religious or ethnic group to which I am associated with.

Archive for September 30th, 2012

DarLive … in South Dar 1

leave a comment »


Lango Kuu …

Baadhi ya mambo wanayoweza kufanya watoto wanapokuwa hapo …

Baadhi ya maeneo ya kuketi …

Bwawa la kuogelea watoto likiandaliwa …

Bibie/bwana mkubwa huyu naye alikuwepo. Hakuwa amefungwa mnyororo wala nini. Alikuwa huru. Sina hakika anaweza kusababisha madhara gani endapo ‘kichaa’ kitampanda na kuanza kushambulia watu … Yafaa kutafiti na kuchunguza kutoka kwa wataalamu. Ni ushauri tu kwa menejimenti.

Written by simbadeo

September 30, 2012 at 11:50 pm

Posted in Siasa na jamii

Tagged with , ,