Archive for September 30th, 2012
DarLive … in South Dar 1
Lango Kuu …
Baadhi ya mambo wanayoweza kufanya watoto wanapokuwa hapo …
Baadhi ya maeneo ya kuketi …
Bwawa la kuogelea watoto likiandaliwa …
Bibie/bwana mkubwa huyu naye alikuwepo. Hakuwa amefungwa mnyororo wala nini. Alikuwa huru. Sina hakika anaweza kusababisha madhara gani endapo ‘kichaa’ kitampanda na kuanza kushambulia watu … Yafaa kutafiti na kuchunguza kutoka kwa wataalamu. Ni ushauri tu kwa menejimenti.