Weekend … Pumzisha Akili kwa Taswira Hizi
Weekend njema wadau wa blogu hii. Mbarikiwe sana. Natumaini nimepata ridhaa yako hapo kabla ili kukuletea makala hii. Maoni ni ruksa, tusivunje tu sheria za nchi! Pamoja sana!
WAZA MPAKA BASI (THINK TO NO END).com weblog NOTE: Views or opinions expressed in this blog do NOT in any way represent those of any organisation, community, association, company, circle of friends, religious or ethnic group to which I am associated with.
Weekend njema wadau wa blogu hii. Mbarikiwe sana. Natumaini nimepata ridhaa yako hapo kabla ili kukuletea makala hii. Maoni ni ruksa, tusivunje tu sheria za nchi! Pamoja sana!
Hahahaha kaka simba umenichekesha sana, yaani kitendo cha kupewa dozi ya neno la Mungu kwa kushtukizwa umekiita “ubakaji”? Hapo kunawengine wameshukuru kupata dozi hiyo kwani mioyo yao imepona na kunawengine wamedharau na kuponda, sasa lipi jema aliyedharau au aliyeponyeka?
LikeLike
dorin
January 29, 2013 at 9:57 am
Dorin. Mtu anayetaka kusikiliza ‘Neno’ aende kanisani. Makanisa yapo wazi. Kunapokuwa na maandalizi ya mikutano kama hiyo, yafanyike mawasiliano na mamlaka zinazohusika na watu wapewe taarifa muda wa kutosha ili kila mmoja ajue kwamba wiki ijayo maeneo fulani kutakuwa na tukio fulani. Asiyependa, atafute njia nyingine ili ‘asibughudhiwe’ na hicho kitakachoendelea hapo. Vinginevyo, unapolazimishwa ‘kushiriki’ jambo pasipo hiyari yako … ni sawa na kufanyiwa kitendo hicho kisicho cha kiungwana … ni maoni tu. Wengine pia wanakaribishwa kutupa maoni yao.
LikeLike
simbadeo
January 30, 2013 at 3:21 pm