simbadeo2000

WAZA MPAKA BASI (THINK TO NO END).com weblog NOTE: Views or opinions expressed in this blog do NOT in any way represent those of any organisation, community, association, company, circle of friends, religious or ethnic group to which I am associated with.

Archive for March 14th, 2012

Geography: Land formations … erosion

with 2 comments


Ni katika bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam. Section of the Msimbazi River Valley in Dar es Salaam. Unaweza kuona kazi ya maji katika kusababisha mmomonyoko. Hata hivyo, tunashuhudia pia athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Miaka 15 kurudi nyuma, bonde hili, na hasa njia ya mto daima ilikuwa na maji. Kina cha maji hayo kiliongezeka nyakati za masika na vuli. Lakini sasa hivi kama unavyoona, katika njia ya mto yenyewe hakuna hata tone la maji. Lakini papo hapo, miezi miwili iliyopita, mto huu ulifurika kiasi cha kusababisha mafuriko yaliyoharibu nyumba za watu pamoja na kuua. Ama kwa hakika tuna wajibu kuona nini kila mmoja wetu anafanya ili kurekebisha hali ya mambo. Hivi, hatuwezi kuimarisha kingo za mto huu ili usije kuhama njia? Tutembee. Tutembelee maeneo mbalimbali kadiri tunavyopata muda.

Written by simbadeo

March 14, 2012 at 12:26 am