Ujumbe kutoka Kisarawe…
Sanaa ni Kazi. Sanaa ni Ajira. Sanaa ni Maisha. Sanaa ni Maendeleo. Tufanye sanaa kwa maarifa, juhudi na ubunifu wa hali ya juu ili kutokomeza maadui zetu wakuu watatu: ujinga, maradhi na umaskini. Kwa njia ya sanaa sote tunaweza – kuanzia watoto hadi wazee. Huu ni ujumbe kutoka kwa wakazi wa Kisarawe, mkoani Pwani.
Leave a comment