Archive for November 10th, 2011
Kasi ya maendeleo …
Nimekuta hali hii mahali fulani. Unashaurije, nimbonyeze kwenzi? Natamani tumrudishe Mzee wa Kiraracha kwenye Unaibu Waziri Mkuu wake na Uwaziri wa Mambo ya Ndani … na Uwaziri wa Kazi … vyote kwa mpigo. Nazitamani sana zile SIKU saba zake … Ukimdunda mkeo … Akikupeleka kwake … unalo … Ukichelewa kazini … unajikuta huna kiti. Acha bwana … nidhamu kazini ilirudi … japo kiduchu. Sasa hivi … naona bado hakuna wa kumpiku … Hata Mzee Magufuli alijaribu lakini siku hizi kimyaaaaaaaa!!!?????