simbadeo2000

WAZA MPAKA BASI (THINK TO NO END).com weblog NOTE: Views or opinions expressed in this blog do NOT in any way represent those of any organisation, community, association, company, circle of friends, religious or ethnic group to which I am associated with.

Kampeni: Damu Salama kwa Wagonjwa

with 6 comments

Ni katika Viwanja vya Sitakishari Social Club, Ukonga Banana, Dar es Salaam.

Ni katika Viwanja vya Sitakishari Social Club, Ukonga Banana, Dar es Salaam.

Wamejitokeza watu wa karibu rika zote kutoka kona mbalimbali za jiji la Dar es Salaam. Wengi wao wakiwa ni wanachama wa vilabu vya mchakamchaka (jogging clubs).

Wamejitokeza watu wa karibu rika zote kutoka kona mbalimbali za jiji la Dar es Salaam. Wengi wao wakiwa ni wanachama wa vilabu vya mchakamchaka (jogging clubs).

Naam, kulikuwa na upimaji na uchangiaji damu.

Naam, kulikuwa na upimaji na uchangiaji damu.

Walijitokeza wadau mbalimbali ...

Walijitokeza wadau mbalimbali …

Mstahiki Meya wa Ilala, Bw Jerry Silaa, hakuwa nyuma.

Mstahiki Meya wa Ilala, Bw Jerry Silaa, hakuwa nyuma.

Wadau wakisubiri zamu zao kuingia uwanjani kukipiga ...

Wadau wakisubiri zamu zao kuingia uwanjani kukipiga …

Naam. Mshika kibendera yuko makini tayari kuchukua hatua inayostahili wakati mechi mojawapo ikiendelea.

Naam. Mshika kibendera yuko makini tayari kuchukua hatua inayostahili wakati mechi mojawapo ikiendelea.

Wanamasumbwi kutoka Kongowe wakifanya mazoezi hapohapo uwanjani...

Wanamasumbwi kutoka Kongowe wakifanya mazoezi hapohapo uwanjani…

Ni sekeseke karibu na lango ...

Ni sekeseke karibu na lango …

Kwa hakika ni bonanza la aina yake. Kuna burudani kedekede — soka, ndondi, muziki. Kuna vyakula na vinywaji vya kutosha kila mmoja. Ni muhimu kuchangia damu salama ili kunusuru maisha ya wale wanaohitaji kuongezewa damu, hasa akina mama wajawazito na watoto. Jitolee kuchangia damu ili kuokoa maisha. Pima afya yako. Ni leo tarehe 22 Juni, 2014 katika Viwanja vya Sitakishari – Ukonga Banana, jijini Dar es Salaam. Pamoja sana.

6 Responses

Subscribe to comments with RSS.

  1. Great information. Lucky me I discovered your website by accident (stumbleupon).
    I have book marked it for later!

    Like

    Dean Graziosi more

    August 4, 2014 at 10:24 am

  2. naturally like your web site however you need to test the spelling on quite a
    few of your posts. Many of them are rife with spelling issues and I in finding it very troublesome to inform the truth then again I will surely come again again.

    Like

    Dean Graziosi internet

    August 6, 2014 at 2:34 pm

  3. Lօved your ԝeb-site old cɦap, maintain the great
    efforts. I can not wait to read yߋur net installation.

    Like

    hair regrowth

    August 20, 2014 at 9:13 am

  4. Yes! Finally someone writes about used van dealer valdosta.

    Like

    car dealers in valdosta

    August 23, 2014 at 1:27 am

  5. I leave a response whenever I especially enjoy a article on a site or I have
    something to valuable to contribute to the discussion. Usually it
    is a result of the passion displayed in the article I looked at.
    And after this article Kampeni: Damu Salama kwa Wagonjwa | simbadeo2000.
    I was excited enough to post a thought 😉 I do have 2 questions for you if
    it’s okay. Is it just me or do a few of these responses come
    across as if they are left by brain dead visitors? 😛 And, if you
    are posting at additional online social sites, I would like to
    keep up with everything new you have to post. Would you list all of your shared pages like your twitter feed, Facebook page or
    linkedin profile?

    Like

  6. Please let me know if you’re looking for a article author for
    your weblog. You have some really good posts and I
    think I would be a good asset. If you ever want to take some of the load off, I’d
    really like to write some content for your blog in exchange
    for a link back to mine. Please blast me an e-mail if interested.
    Cheers!

    Like

    12 ft kayak

    October 8, 2014 at 4:45 am


Leave a comment