Simba vs Yanga … yaliyotia fora kabla ya mechi …
Vibendera …
Mmasai akipandisha mzuka na ‘alaji, alaji…’
Biashara zilitawala …
Mashabiki wa Yanga wakichoma moto kitambaa cha Mnyama Simba … lakini yote ilikuwa ni burudani …
Mashabiki wa Simba hawakukubali … walizima moto huo kwenye kitambaa kwa kukimiminia bia …
Mashabiki …
Naam … walizidi kumiminika kutoka kila kona ya jiji na miji ya jirani … kila mmoja akitaka kushuhudia mtinangi kwa macho yake mwenyewe …
Nyomi … kungali mapema …
Mpaka mechi inafika mwisho … hakuna aliyemtambia mwenzake. Tiketi za elfu 3, 5, na 7 zilimalizika mapema tu …
Hii ni sehemu ya utalii wa ndani.
Ee bwana hata sisi wa mwese tumejisikia kana kwamba yulikuwepo uwanjani licha ya kwamba tuliiona live ila asante kwa kutuburudisha kwa yaliyojili nje ya uwanja. Vipi kaka deo ile ishu yetu kuhusu write up yako imefikia wapi? GGOD DAY
LikeLike
REUBEN
March 13, 2011 at 4:58 pm
Asante Reuben. Bado naendelea kufuatilia. Nilishaandika na nafikiri tutapata majibu mpaka katikati ya mwezi ujao kama tumefaulu au la. Kulikuwa na maombi zaidi ya 700 kutoka duniani kote. Tukifaulu, utanisikia. Kila la kheri.
LikeLike
simbadeo
March 14, 2011 at 9:49 am