Kibaha …
Utokapo Dar.
Mto unaotenganisha mikoa ya Dar es Salaam na Pwani
Wapo waliogonga kingo za daraja … na hakuna marekebisho yaliyofanyika … yaelekea ni muda mrefu umepita tangu ugongaji huo ufanyike. Hali hii huonekana mahali pengi … hatufanyi marekebisho ya sehemu zilizoharibiwa … tunaziacha kwa muda mrefu kiasi kwamba tunapozikumbuka … gharama za kurekebisha zinakuwa juu kiasi kwamba pengine ni vema kujenga upya kabisa. Tujirekebishe.
Advertisements
Leave a Reply