Here and there … hapa na pale jijini Dar
What’s this?
We all like news, don’t we? Ignoring even money on the side!
Where our money is … the question is ‘how safe is it there?’
The harbour view …
… it’s not only the water that’s meant to flow through the tunnel … we must consider all other things that come with it … tree branches, the dirty, mud and so much more … that is … if we want our bridges to be safe from flush floods …
Advertisement








nimeipenda hii picha ya mtoto na kitabu cha Sayansi. Unafikiri anauliza ´hivyo kweli?LOL
yasinta/kapulya
January 15, 2012 at 2:31 pm
Hi, tazama kidole chake. Kinauliza swali hilo. Ada ya watoto ni kudadisi. Ni tabia ambayo sisi huipoteza tunapoingia utu uzima. Hatuna budi kujifunza kutoka kwa watoto. Wakijenga interest na kitu … ni interest ya kweli … SI ya kumpendezesha mtu fulani. I miss my childhood days …
simbadeo
January 16, 2012 at 9:41 am