simbadeo2000

Kadhia kuu Dar…

dscf0005

Ni katika makutano ya barabara ya Nyerere na ile iendayo uwanja wa Ndege wa zamani, Terminal One. Kuanzia hapo, ni kimbembe kuikamata Banana. Barabara ni ya lane moja, lakini mara nyingine hujitokeza lanes mpaka tatu! Kuna wanaopita kwenye kingo za barabara, kuna wanaokatisha katika njia za waendao kwa miguu! Ni uharibifu mkubwa wa mazingira. Kuna umuhimu wa kutafuta suluhu kwa kadhia hii inayozidi kukua kila kunapokucha … foleni ndeeefu katika barabara za Dar es Salaam. Suluhu si kuondoa vipanya peke yake, kuna umuhimu wa wanausalama barabarani pia kufanya kazi zao kwa ufanisi zaidi. Foleni hizi ni jinamizi kubwa kwa kasi ya kukua kwa uchumi wetu. Dawa itafutwe.


Posted in Siasa na jamii

About author

I am a citizen of Tanzania. I live in Dar es Salaam, commercial city of Tanzania. I am an editor, particularly dealing with books as well as other publications and related activities: editing, translating, supervising design and layout, monitoring printing, warehousing and dissemination of the books. I am also an author: I write children's story books, school textbooks and adult books. I undertake translation tasks from English to Kiswahili and vice versa. I do book indexing, that is preparing an index for a professional book. Contact: kakasimba@gmail.com . Feel free to get in touch with me.

Search

Navigation

Categories:

Links:

Archives:

Feeds