
Historia hii itunzwe. Ni hazina kubwa itakayolisaidia Taifa hili katika miaka ijayo. Hao wanaoitwa ‘waendelezaji’ waende kuendeleeza jiji huko pembezoni, siyo hapa katikati.
Na mvua inapotua jijini Dar mambo huwa hivi mitaani:

Mitaa hubaki mitupu.

Na baada ya mitaro ya maji machafu kuziba, basi maji hufurika barabarani. Hali hiyo inapotokea, unachagua moja kati ya mawili – au unajitosa kukanyaka maji hayo au kulipa sh 100 ili uvushwe katika maji machafu kwa kubebwa kwenye mkokoteni. Mababa wa Jiji, kazi mnayo!
katika wilaya ya kahama kuna sehem moja panaitwa MFUFUMO ni kijiji cha maajabu .
Mpaka muda huu ninao ongea mimi mwenyewe nipo hapa kuna mama mmoja wa ajabu anajua kila lugha.
Na anasema yeye ni mailaikas katumwa kuja kuwahubiri watu waache madhambi .
mama huyo yuko juu ya mlima na kuna maji mengi ya tililika toka juu mpaka chini ukifika pale kila swali swali ukalo nmuuliza lazima akujibu.
kweli ni mtu wa maajabu na viongozi wa wilaya huwa wakwenda kummuangalia wala hawmwmbii ahame kama hamuamiani nttuwasiliane kwa e mail yangu ni wape diretion nzuri.
Comment by andrew — September 23, 2009 @ 2:03 pm