simbadeo2000

Kijani ni afya…ni maendeleo | Feb 22nd 2009

ohiostrfeb09

Kijani ni afya. Utembeapo eneo lenye mimea kwa wingi tena inayotunzwa vizuri, unajisikia kuwa na hali tofauti katika akili, mwili na hata roho yako. Kijani ni afya.

Imefika wakati tusambaze ukijani kama huu mahali mbalimbali katika jiji hili. Mazingira ya namna hii yatachangia katika kuongeza ubora wa afya zetu. Tunapokuwa na afya njema, tuna nafsi ya kufiriki vizuri zaidi na kwa hiyo kujiletea maendeleo sisi wenyewe na taifa letu. Tushikamane kutunza mazingira ili mazingira yatutunze na kutuletea tija.

Picha inaonyesha eneo lililo karibu na makutano ya Barabara za Ohio, Bibi Titi na Ali Hassan Mwinyi.


Posted in Siasa na jamii

2 Comments »

  1. Just passing by.Btw, you website have great content!

    _________________________________
    Making Money $150 An Hour

    Comment by Mike — March 1, 2009 @ 11:28 am

  2. Hi Mike.

    Thank you for your comment. I’m glad you like the site. Keep visiting it for more posts to come.

    At you service
    Simba

    Comment by simbadeo — March 2, 2009 @ 10:46 am


Say something?Comments RSS TrackBack URI

About author

I am a citizen of Tanzania. I live in Dar es Salaam, commercial city of Tanzania. I am an editor, particularly dealing with books as well as other publications and related activities: editing, translating, supervising design and layout, monitoring printing, warehousing and dissemination of the books. I am also an author: I write children's story books, school textbooks and adult books. I undertake translation tasks from English to Kiswahili and vice versa. I do book indexing, that is preparing an index for a professional book. Contact: kakasimba@gmail.com . Feel free to get in touch with me.

Search

Navigation

Categories:

Links:

Archives:

Feeds