simbadeo2000

Jijini Dar | Feb 13th 2009

dscf0035

Kituo cha Basi cha Banda la Ngozi, Barabara ya Nyerere, Dar es Salaam. Ni saa 11.10 jioni.

Imagine. Ulikuwa na siku ngumu. Siku ambapo ulitumia akili na nguvu nyingi katika kazi zako. Inapofika saa ya kutoka kazini, kituoni magari ya abiria yanakupita tu yakiwa yamejaa. Pengine ni wakati sasa tutafute ufumbuzi wa kudumu kuhusu usafiri wa umma ili mtu asisubiri zaidi ya dakika tano kituoni.


Posted in Siasa na jamii

No Comments Yet »

Say something?Comments RSS TrackBack URI

About author

I am a citizen of Tanzania. I live in Dar es Salaam, commercial city of Tanzania. I am an editor, particularly dealing with books as well as other publications and related activities: editing, translating, supervising design and layout, monitoring printing, warehousing and dissemination of the books. I am also an author: I write children's story books, school textbooks and adult books. I undertake translation tasks from English to Kiswahili and vice versa. I do book indexing, that is preparing an index for a professional book. Contact: kakasimba@gmail.com . Feel free to get in touch with me.

Search

Navigation

Categories:

Links:

Archives:

Feeds