
Kituo cha Basi cha Banda la Ngozi, Barabara ya Nyerere, Dar es Salaam. Ni saa 11.10 jioni.
Imagine. Ulikuwa na siku ngumu. Siku ambapo ulitumia akili na nguvu nyingi katika kazi zako. Inapofika saa ya kutoka kazini, kituoni magari ya abiria yanakupita tu yakiwa yamejaa. Pengine ni wakati sasa tutafute ufumbuzi wa kudumu kuhusu usafiri wa umma ili mtu asisubiri zaidi ya dakika tano kituoni.