simbadeo2000

Kipi bora…uchuuzi au korosho? | Feb 10th 2009

dscf0008

Ni Abdallah. Mwenyeji wa Mtwara. Anasema kazi yake hii inalipa zaidi kuliko kupalilia mikorosho kule Mtwara. Hapa jamii nzima ina wajibu. Nini kiwe vipaumbele vya Taifa letu: kuchuuza mali zilizotengenezwa na wenzetu wa nje au kutilia mkazo uzalishaji unaoliletea Taifa hili fedha za kigeni? Je, kwa nini kwa mfano isifike mahali Bw Abdallah akaona kuwa inalipa zaidi sana kupalilia korosho kuliko kuchuuza soksi (cheap) za kutoka Uchina? CCM ilyo madarakani ina kazi ya kuwaeleza wananchi mkakati wake wa kubadili kitendaguro hiki.


Posted in Siasa na jamii

No Comments Yet »

Say something?Comments RSS TrackBack URI

About author

I am a citizen of Tanzania. I live in Dar es Salaam, commercial city of Tanzania. I am an editor, particularly dealing with books as well as other publications and related activities: editing, translating, supervising design and layout, monitoring printing, warehousing and dissemination of the books. I am also an author: I write children's story books, school textbooks and adult books. I undertake translation tasks from English to Kiswahili and vice versa. I do book indexing, that is preparing an index for a professional book. Contact: kakasimba@gmail.com . Feel free to get in touch with me.

Search

Navigation

Categories:

Links:

Archives:

Feeds